Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew.
KOCHA, David Moyes amethibitisha kuwa Jack Grealish anasumbuliwa na maumivu ya misuli ambayo yatawaacha kwenye pigo kubwa.
KIUNGO wa Brighton, Carlos Baleba amekiri kwamba tetesi za kutakiwa na Manchester United zilimfanya kuwa na presha kubwa na ...
ALIYEKUWA mmiliki wa Tottenham Hotspur, Lord Alan Sugar amewataka mabosi wa sasa wa timu hiyo kumwajiri kocha Jurgen Klopp ...
KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amemtetea straika Viktor Gyokeres kwa kiwango chake alichokionyesha dhidi ya Wolves na badala ...
MASHINDANO ya 35 ya soka ya ubingwa wa Afrika (Afcon 2025) yataanza Morocco, Jumamosi hii huku fainali yake ikitarajia ...
KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amemtaka kiungo Kobbie Mainoo kumtazama Casemiro kama mfano ili kubadili hali ya ...
ULE upepo mzuri ilioanza nao Malindi katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), umekata baada ya kucheza mechi saba mfululizo sawa na ...
MCHAKAMCHAKA wa mashindano ya ubingwa wa Afrika kwa timu za soka za taifa unatarajia kuanza Jumamosi hii na mataifa yataanza ...
UONGOZI wa Mbeya City huenda ukaachana na mpango wa kumtema kiungo Mnigeria, Paschal Onyedika Okoli katika dirisha dogo la ...
BEKI kisiki wa timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Noela Luhala amevunja mkataba na klabu ya 1207 Antalya Spor ya Uturuki ...
MICHUANO ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2025) inatarajiwa kuanza Jumamosi hii hadi Januari 18 mwakani na nchi 24 ...